Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Hospitali ya Wilaya ya Chato
(Hospitali ya Wilaya)
Hospitali ya Wilaya ya Chato
(Hospitali ya Wilaya)
UTUNZAJI SAHIHI NA SALAMA WA DAWA - Mh. UMMY MWALIMU
Posted on: September 18th, 2019
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu amefanya ziara katika Hospitali ya Wilaya ya Chato na kukagua duka la dawa.